Monday, October 4, 2010

Mrehemu AMINA CHIFUPA
Mungu alailaze roho yake mahali pema paponi  AMIN........
lakini mtoto alikuwa na ......................Mhhhhhhhhhhhhh


Dina Akiwa katika kipindi

Dian na kipindi chake chake LEO TENA na 88.4 Redio ya watoto wa mjini


Filamu mpya ya REY
PRETTY GIRL

baadhi ya wajumbe ya kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa wa Kagera wakiwa katika picha ya pamoja wakati wakisubili kuupokea mwenge ulioanza mbio zake mkoani Kagera wakati ukitokea mkoani Mwanza.Picha na Audax Mutiganzi.

mkuu wa mkoa wa Mwanza, Abbas Kandoro akimkabidhi mwenge wa uhuru mkuu wa mkoa wa Kagera Mohamed Babu

kamanda wa jeshi la polisi mkoani Kagera Henry salewi akipokea mwenge toka kwa mkimbiza mwenge kitaifa Dr. Nassoro Ali Matunzya.









































ASSALAMUALAYKUM **** BWANA YESU ASIFIWE **** TUMSIFU YESU KRISTO