Wednesday, September 29, 2010

kampeni za kwikwete

CCCM    WAWAWAAAAA

mkapa anahojiwa na UN kuhusu .................

                                                   Mimi sijaiba ....... wala misinihusishe na  EPA wala RICHMOND.....
Rais Mstaafu wa awamu ya tatu wa Tanzania,Mh. Benjamin W. Mkapa akiwa katika mahojiano na mkuu wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa,Bi Flora Nducha katika ofisi za Umoja wa Mataifa,jijini New York,Marekani. Mh. Mkapa aliteuliwa wiki iliyopita na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa,Bw. Ban Ki-moon kuongoza timu ya watu watatu watakaofualitia na kuangalia kura ya maoni ya Sudan Kusini. Mh. Mkapa amesema kura hiyo ni ya muhimu sana kwa hatma ya mamilioni ya Wasudan ambao Januari tisa watapiga kura kuamua endapo eneo la Sudan Kusini lijitenge na kuwa taifa huru ama la na amesema la msingi ni kwa watu kukubali matokeo mara kura hiyo itakapokamilika.. Mh. Mkapa aliyazungumza hayo wakati wa mahojiano na mkuu wa Idhaa ya Kiswahili ya Redio ya Umoja wa Mataifa,B. Flora Nducha



CCM OYEEEEEEEEEEEEEEE

PESA ZENYEWE KAMA ..............

UMEONA POZI LA MISHI

MTOTO ANA MWANYA KAMA.....

meli ya kisasa

kushawahi kupanda ........

                                                       Kama bado japo kuina.........

                                                    Hta kusikia kama kuna kitu kama hiiiiiiiiiiiiiiii

ASSALAMUALAYKUM **** BWANA YESU ASIFIWE **** TUMSIFU YESU KRISTO

ASSALAMUALAYKUM **** BWANA YESU ASIFIWE **** TUMSIFU YESU KRISTO