Thursday, October 7, 2010

BWEBWE ZA DIDA NA 100.5 TIMES FM MGUSO WA JAMII

                                   









Najua binadamu kila mtu anamapungufu yake ila tu unafahamu wengine hujitengenezea roho za chuki mwisho wa siku utaitwa mchawi kwa roho yako ya kwanini.ukimuona mwenzio anafanikiwa roho inakutatalika kama bisi zipo jikoni,ila na unakuwa na wasiwasi utafikiri muuza gongo unakwepa polisi acheni izo waja haya ni maisha tu ila mjue wazi moyo na yangu nafsi umepoa kama almasi sina bifu wala jelous na silipizi kisasi ila utaisoma namba hata kama za kichina.utakae ona umebanwa utasogea hii ni blog ya kuwanyoosha wale wanaojifanya wamepinda kama spoku za baiskeli kama wewe mzungu tembelea kwengine.

NASHUKURU MUNGU WADAU NIMERUDI SALAMA

Ukiipenda dida classic jibu lako

Ndani ya ofisi za radio times kushoto sheiza,dida na mzee chapuo msimamizi wa kipindi

Nimetengeneza shavu nikiwa ndani ya pozi na sheiza mtangazaji ndani ya radio times fm.

Jamani we acha nilishasahau milio ya paka na kelele za baba mwenye nyumba, ila hapo na mawazo zimebaki siku mbili za kurudi home nawazaje?ila nimekula bata maana si ng'onda

Hapo nasubiri kisamaki mawazoni kumbe bakuli la samaki


Nilikula ubao nchi ya watu mchezo hakuna utamzukia shangazi ha ha ha


Jamani acheni mazoea ya mchemsho uchochoroni balaa nchi niliopo nilitamani supu ya samaki nikaagiza nikajua kidogo kama tulivyozoea mkia au kichwa yailah mie nilijuta nilipoliona bakuli

Isome kimya kimya

MHHHHHHHH sijui napanda au nashuka?

MHHHHHH nitajuta baada ya muda,kimya kimya basi.

CCM WAFUNIKA UNGUJA NA PEMBA aka ZANZIBAR

Uwanja wa Demokrasia ulikuwa mdogo

wana TEMCO kibao wakiwa bize

JK akihutubia maelfu ya wananchi na wana CCM wa Zanzibar katika uwanja wa Demokrasia (zamani kibanda maiti) huko Unguja

Waangalizi huru wa uchaguzi wa TEMCO walikuwepo kibao

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Amani Abeid Karume akipiga chapuo kwenye mkutano huo wa kampeni wa JK katika uwanja wa Demokrasia, Unguja

Mh. Temba na Chegge wa TMK Family walikuwepo kumtambulisha JK kwa wananchi


 Ankal akiwa Pemba na m gombea ubunge wa CCM wa jimbo la Mkoani Issa Mohamed Salim (kati) na mgombea uwakilishi wa jimbo la Mkanyageni Masoud Mohamed Abdallah

JK akisalimiana na mgombea ubunge jimbo la Wawi Mh. Daudi uwanja wa Pemba

JK akiaga uwanja wa Pemba

wana CCM wa skuta wakimsubiri JK akitokea Pemba



Msanii aliye juu kabisa visiwani kwa sasa akitumbuiza


Barbara na Lilian walikuwepo pia


Marlaw naye akipiga honi kwa wapinzani


 wana CCM kibao mkutanoni hapo

Kikosi kazi cha Zenj FM kilikuwepo kurusha laivu tukio hili