Monday, October 4, 2010


Juzi jumanne nilipokea ujumbe kwenye simu yangu ya mkononi iliyosomeka KUNA TUKIO LA AINA YAKE,KUNA MDADA ANAWAKA MOTO BILA SABABU lakini maumivu hasikii tena kila anapokuwa unawaka hata akija kwako kukutembelea moto huwaka..Huku mburahati kwa jongo.

Hapo nyumbani inabidi ndugu wakae na ndugu yao maana moto huo unawaka akiwa peke yake bila watu,kukiwa na watu hauwaki.

Ndugu wakiwa katika hali ya simanzi kama kuna msiba kwa hicho kilichomkuta ndugu yao.

Ndugu wengi wamekusanyika hapo nyumbani kama kuna msiba vile,ili kukaa na ndugu yao kumfariji na kuhakikisha anakuwa sawa.

Alikuwa amekaa kwenye kochi kochi likaanza kuwaka moto,na lazima moto ukiwaka awe peke yake akija mtu mwingine unazima unabaki moshi.

Hili godoro liliungua wakati yeye amelala kitandani,likashika moto

Kaka wa mhanga wa tukio hilo akionyesha godoro lingine lililoungua kimaajabu.

Vitenge,nguo alizopewa na ndugu kuvaa pia ziliwaka kwa nyakati tofauti kwa siku unaweza kuwaka hata mara sita.

Nguo zilizoungua na zinaungua akiwepo yeye eneo hilo

Nguo mbalimbali zilizo ungua kwa nyakati tofauti....



Dada mwenyewe ndio huyu anaeonekana kidogo kwenye picha maana hakutaka kupigwa picha.Ni mjamzito hapo alipo ila hali ndio hiyo akiwa mahali hata kama ni kwako akikaa peke yake moto unawaka aidha kwenye nguo zake,kochi,kitanda,hata kama ni nguo iliyotundikwa inawaka moto.Mpaka sasa haijaeleweka ni kwa nini mashekhe wamemuombea dua toka juzi hiyohiyo ambapo alilala msikitini.
Wapo waliosema labda kachukua mume wa mtu kafanyiwa mchezo lakini alipoulizwa akasema huyo mwanaume mwenye mimba wamefunga ndoa na anavyojua kamkuta hana mwanamke labda awe kamdanganya.
Dada wa watu hana raha kabisa ndugu zake inabidi wakae nae kama kumetokea msiba maana ni kitu cha ajabu sana kilichompata ndugu yao maana kimeanza wiki hii hapa.



Mwisho kabisa moto huu haumuunguzi,wala hasikii maumivu ya aina yoyote zaidi ya hofu na wasiwasi wa kutokujua nini kipo nyuma ya huu moto.





WALEMAVU WAPANDA MLIMA KILIMANJARO:
Maaskari watatu wa zamani raia wa Marekani waliokatwa viungo vyao vya mwili wamepanda mlima Kilimanjaro, wakistahamili maporomoko na majeraha kufikia kilele cha mlima mrefu barani Afrika kila mmoja akiwa na mguu mmoja tu ambao ni imara.
Watu hao kutoka Vietnam, Afghanistan na Iraq, walikwea hadi kufikia juu ya mlima huo wenye urefu wa mita 5,891 uliopo nchini Tanzania.
Iliwachukua siku sita kufikia kileleni kwa nia ya kuonyesha kuwa ulemavu haumaanishi huna uwezo wa kufanya lolote.
Safari hiyo huchukua siku tano hadi sita, na ilibidi watu hao kusimama mara kwa mara ili kurekebisha miguu yao ya bandia, baada ya kuteleza sana.
Wakweaji hao wa mlima ni Dan Nevins, mwenye umri wa miaka 37, ambaye alipoteza miguu yake nchini Iraq, Neil Duncan, wa miaka 26, alipoteza miguu yote miwili katika shambulio la bomu lililotegwa barabarani Afghanistan mwaka 2005; na Kirk Bauer, mwenye miaka 62, aliyepoteza mguu mmoja huko Vietnam mwaka 1969.
Bw Bauer aliliambia shirika la habari la AP, " Ikiwa watu watatu waliokatwa viungo kutoka vita vitatu tofauti na kutoka vizazi tofauti na wana mguu mmoja tu wanaweza kupanda mlima Kilimanjaro, marafiki zetu wengine walemavu wanaweza kutoka na kupanda mlima au kuendesha basikeli au kuogelea, na wanaweza kuwa na maisha yenye afya njema."
Bw Nevis alipata jeraha katika kigutu ya moja ya miguu yake hiyo ya bandia na baada ya kufika kileleni aliondoshwa kwa kutumia machela.
Bw Bauer ni mkurugenzi mtendaji wa michezo ya walemavu wa Marekani, shirika lililopo mjini Wasington DC linaloshughulika na uzima wa afya na ushiriki wa michezo kwa walio na ulemavu.


FC Barcelona History - Historia ya klabu ya
balelona
                                  THE FC BARCELONA : MORE THAN A CLUB










On the 29th of November 1899, Joan Gamper founded the Football Club Barcelona ( Barça). Gamper chose the famous blue and claret as the team colours for they are the colours of the Swiss canton he came from. The myth was born: Kubala, Suárez, Cruyff, Maradona and Ronaldinho, among many others, have signed up for this Club. During the 20th century, "Barça" has become a Barcelona symbol, a symbol that represents the Catalan identity as a nation. That's why it is said that "Barça" is more than a Club.

THE MYTH IS BORN
In the Solé Gym office, on the 29th of November 1899, Gamper met Gualteri Wild, Lluís d'Ossó, Bartomeu Terrados, Otto Kunzle, Otto Maier, Enric Ducal, Pere Cabot, Carles Pujol, Josep Llobet, John Parsons and William Parsons. Eleven sportsmen gathered in order to found a football club. Gualteri Wild was appointed President. The 1st match contested was at the Bonanova Cycle Track and they played against a group of English expatriates who were living in Barcelona. The Englishmen won 1-0. On the 14th of March 1909, the Club inaugurated its 1st own ground at c/Indústria, with a capacity for 6,000 people. At that time, the Barcelona FC obtained their first victories: The Catalan Championships: 1909-1910, 1910-1911, 1912-1913, 1915-1916, 1918-1919 1919-1920, 1920-1921, 1921-1922 and the Spanish Championships: 1909-1910, 1911-1912, 1912-1913, 1919-1920 and 1921-1922.

LES CORTS STADIUM
The Les Corts ground (also known as "The Cathedral of Football") was inaugurated on the 20th of May 1922. That stadium had an initial capacity of 30,000 spectators but later doubled to 60,000. In 1924 the Club had already 12,207 members and a big number of supporters laid the foundations of the current social mass. During the season 1928-1929, Barça won brilliantly the 1st edition of the Spanish National League Title and ended, therefore, a period full of titles.
THE 30'S
Joan Gamper died on the 30th of July 1930. The decade which was about to start had a fatal beginning and the Club entered a period of decline: institutional crisis, many members left the Club, bad sports results and the Franco's supporters political pressure. The Civil War in 1936 had disastrous consequences for the FC Barcelona. Josep Suñol, President of the Club, was murdered by Franco's soldiers near Guadalajara. However, the Barça kept alive and in 1936 decided to go on tour around Mexico and the USA, fact that would help the Club financial problems. In March 1938 the fascists dropped a bomb on the FC Barcelona Social Club and cause serious damage. In 1939, the Franco's troops created many problems to the Club because it had already become a symbol to the Catalan people. The number of members also dropped to 3,486.
LA COPA LATINA (The Latin Cup)
During the 40's, Barça gradually recovered despite their internal difficulties. In June 1943, the scandalous game against Madrid in the Chamartín ground, saw the Barca players threatened by referee and police and Piñeyro, a fascist supporter, but honestly disgusted at the treatment his team had received, resigned from the presidency of the Club (which he had held since 1940). Better times were to come. Barça won the National League Titles 1944-45, 1947-48 and 1948-49 and the Latin Cup Title 1949, a competition which preceded the European Champions Cup Title, the FC Barcelona 1st international success. It was the time of César, Basora, Velasco, Curta, the Gonzalvo brothers, Seguer, Biosca o Ramallets. Barça celebrated their 50th anniversary reaching member numbers of 24,893.
KUBALA
Ladislao Kubala arrived in Barcelona in June 1950 and made the FC Barcelona become an unbeatable team thanks to their magic forward line: Basora, César, Kubala, Moreno and Manchón. Between 1951 and 1953, Barça won every competition on offer (Spanish Leagues 1951-52 and 1952-53 and Spanish Cups 1950-51, 1951-52 and 1952-53). From that golden period, it is important to emphasize the season 1951-52, in which they obtained the Five Cups: Spanish League, Spanish Cup, Latin Cup Eva Duarte and Martini Rossi trophies.

THE CAMP NOU, 1957

Kubala was too huge a figure for Les Corts and soon Francesc Miró-Sans promoted the building of the Camp Nou Stadium, which got inaugurated on the 24th September 1957. The new stadium had a capacity of 90,000.
Barça won the Spanish Leagues 1958-59 and 1959-60, and the Fairs' Cups 1957-1958 and 1959-60, coached by Helenio Herrera with such excellent players as Kocsis, Czibor, Evaristo, Kubala, Eulogio Martínez, Suárez, Villaverde, Olivella, Gensana, Segarra, Gràcia, Vergés and Tejada. The 60's were a period of crisis (they won the Spanish Cups 1963 and 1968 and the Fairs' Cup 1966, only). However, it was then that the sentence "more than a Club" was born. Barça was over the sports level: the Club and its colours became a way to defend the Catalan national identity.
CRUYFF
In 1973, the signing of Dutch Johan Cruyff put the finishing touches to a golden forward line of Rexach, Asensi, Cruyff, Sotil and Marcial, who led the league winning side of 1973-74. Coinciding with the Club's 75th anniversary, there were now 69,566 members, making it the most powerful sporting club in the World. Joan Miró did the commemorative poster of that event
JOSEP LLUÍS NUÑEZ
In 1978, Josep Lluís Núñez became President of the FC Barcelona. The Club then began a considerable period of social and financial expansion. The increase in member numbers reached the 100,000 and many supporter's clubs were founded. The FC Barcelona was becoming the sports most important entity in the world. Barça were also provided with emblematic sports facilities: the Camp Nou expansion (with a capacity of more than 100,000 spectators), the building of the Miniestadi, the Palau Blaugrana, and so on.
The Núñez era constitutes without any doubt the most brilliant sports moment in the Barça history: Basilea Cup Winner’s Cup, the Spanish League 1984-85, under Terry Venables, the Dream Team (1990-1994) under Johan Cruyff (four consecutive Spanish Leagues, the Cup Winners' Cup, the Spanish Cup and the Spanish Super Cup, and the European Champions Cup at the Wembley Stadium). Then came Bobby Robson, who won the Cup Winner's Cup, the Spanish Cup and the Spanish Super Cup in the 1996-97 season and Louis van Gaal's consecutive League Titles in 1997-98 and 1998-99, when the team won the double for the first time in 39 years.

TODAY'S BARÇA
The FC Barcelona is currently a sports entity which includes basketball, handball, hockey, athletism, ice-hockey, figure skating, indoor football, rugby, baseball, volleyball and women's football sections. The football team are the only side to have qualified for European competition every year since its inauguration in 1955. There are now a total of 105,706 members and 1,508 supporters clubs.