Monday, October 4, 2010

Mrehemu AMINA CHIFUPA
Mungu alailaze roho yake mahali pema paponi  AMIN........
lakini mtoto alikuwa na ......................Mhhhhhhhhhhhhh


Dina Akiwa katika kipindi

Dian na kipindi chake chake LEO TENA na 88.4 Redio ya watoto wa mjini


Filamu mpya ya REY
PRETTY GIRL

baadhi ya wajumbe ya kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa wa Kagera wakiwa katika picha ya pamoja wakati wakisubili kuupokea mwenge ulioanza mbio zake mkoani Kagera wakati ukitokea mkoani Mwanza.Picha na Audax Mutiganzi.

mkuu wa mkoa wa Mwanza, Abbas Kandoro akimkabidhi mwenge wa uhuru mkuu wa mkoa wa Kagera Mohamed Babu

kamanda wa jeshi la polisi mkoani Kagera Henry salewi akipokea mwenge toka kwa mkimbiza mwenge kitaifa Dr. Nassoro Ali Matunzya.

Gari aina ya Subaru lenye namba za usajiri T 193 AZL ikiwa katika hali mbaya sana mara baada ya kupata ajali jioni hii maeneo ya Kinondoni,Ubalozi wa Ufaransa.gari hii ambayo ilikuwa ikitokea maeneo ya Kinondoni Morocco kuelekea mjini,ilipoteza muelekeo mara baada ya gari moja kuingia ghafla katika barabara kubwa huku gari hii ikiwa katika mwendo wa kasi sana na kumfanya dereva wa gari hii kushindwa kuikontroo gari hii na kwenya kugonga moja ya nguzo za taa za barabarani na kuifanya ikapinduka.ndani ya gari hii kulikuwemo na watu watatu ambao wawili walijeruhiwa na kukimbizwa hospital na mwingine kufanikiwa kutoka bila jeraha lolote.









































ASSALAMUALAYKUM **** BWANA YESU ASIFIWE **** TUMSIFU YESU KRISTO